Tuesday, March 17, 2015

CRISTIANO RONALDO AONGOZA KUWA NA MAFOLLOWERS KATIKA MITANDAONI

Staa wa soka kwenye Rekodi nyingine kubwa kwenye mtandao wa Facebook

facebook-260818_640
Inapokuja ishu ya nani anafahamika zaidi duniani, au nani ana followers wengi mtandaoni kutokana na umaarufu wake.. Muziki, mchezo hivi ni vitu ambavyo vina wapenzi wengi duniani, kwa hivyo mastaa wa michezo kama mpira wa miguu, au mastaa wa muziki lazima pia watakuwa na followers wengi kwenye kurasa zao za mitandao ya kijamii.
Facebook ni mtandao wenye nguvu sana, urahisi wake kuutumia unafanya watu wengi kuupendelea zaidi, nakusogezea hii rekodi ambayo kama hujaipata basi ufahamu  kwamba Cristiano Ronaldo anaongoza kuwa na followers wengi Facebook ambao ni Mil. 107,142,691 huku nafasi ya pili akishika Shakira ambaye ana followers 107,087,100.
.
Cristiano Ronaldo akiwa na mwanae
Staa wa soka Wayne Rooney ni maarufu lakini anashika nafasi ya 95 kwa kuwa na followers Mil. 10.8 Facebook.
CR7 II
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment