Matokeo ya Arsenal vs West Ham yasikupite, yako hapa!!

Kilabu hiyo iliyopo chini ya Wenger
iliishinda West Ham kwa jumla ya mabao 3-0 na kuimarisha ndoto yake
katika nafasi nne bora kwenye msimamo wa ligi ya Uingereza.
The Gunner ilitawala mechi hiyo huku Olivier Giroud akifunga bao la kwanzadk45 kabla ya kipindi cha kwanza kukamilika.

Arsenal sasa inajianda dhidi ya Monaco ya nchini Ufaransa siku ya jummane katika mechi ya ligi ya klabu bingwa barani Ulaya.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment