HUZUNI TUKIO LA MABIBO, HATUAMINI
Wanafunzi wakiwa nje ya jengo lililoungua wakati wakitafakari pakwenda.
Sehemu ya paa la jengo hilo iliyoungua.
Baadhi ya vitu vilivyookolewa.
Wafanyakazi wa Tanesco wakiwasili eneo la tukio kutoa msaada.
Baadhi ya wanafunzi wakitafuta pakujihifadhi baada ya janga hilo.
Wanafunzi wakijadiliana jinsi ya kufanya.
Katika
tukio hilo wanafunzi wawili wamekimbizwa hospitali baada ya kuumia
katika purukushani za kujiokoa ambapo mmoja alijirusha kutoka ghorofa ya
pili ulipoanzia moto huo na mwingine aliumia kwenye mkanyagano wakati
wa kujiokoa.
No comments:
Post a Comment