Wednesday, March 18, 2015

MTOTO WA NYOKA NA YEYE NI NYOKA

Mtoto wa staa wa soka nae ni staa yani !

kai5Kuna ule msemo unaosema ‘mtoto wa nyoka ni nyoka’.. mtoto wa mwanasoka anayefanya vizuri kwenye soka la Kimataifa, mshambuliaji kutoka Manchester United, Wyne Rooney ambaye anaitwa Kai kuna dalili zote kwamba hayuko njia tofauti na anayopita baba yake.
kai
Kai akisaini autograph ya shabiki wa Manchester United
Katika mchezo wa Jumapili March 15 uliokuwa kati ya Manchester United na Totternham, Kai ambaye aliongozana na baba yake uwanjani alijikuta akipata umaarufu wa aina yake, mama mmoja fan wa Man U alimuomba mtoto huyo amsainie autograph yake kama ambavyo huwa wanasign mastaa  wengi wakikutana na fans wao.
kai2
Mtoto huyo ana umri mdogo lakini alisaini autograph hiyo na mama huyo alionekana pia kufurahia.
kai4
kai3
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia  www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment