Monday, March 16, 2015

NI VILIO TU, KILA KONA

Picha za tukio la Moto Mabibo Hostel Dar

Fire II

Imeripotiwa muda mfupi uliopita kuhusu tukio la moto katika Hostel za Mabibo ambapo wanaishi wanafunzi wa Chuo Kikuu Dar es Salaam.
Taarifa za awali zinasema kuwa chanzo cha moto huo ni shoti ya umeme, hakuna taarifa ya mtu yoyote kuathirika na moto huo mpaka sasa.
Naendelea kufuatilia tukio hili, nitakufikishia taarifa yote muda wowote kuanzia sasa pamoja na picha zaidi.
Fire

Mabibo
IMG-20150316-WA0007
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com

No comments:

Post a Comment