Kuna ukweli wowote Manny Pacquiao kutumia dawa za kuongeza nguvu?

Pac ameamua
kukata mzizi wa fitima kwa kuamua kufanya vipimo vya damu yake ili
kudhibitisha kama kuna ukweli wowote kwenye tetesi za bondia huyo
kutumia dawa hizo.
Wakati Pac akifanyiwa vipimo hivyo alikuwa akioneshwa live na Televisheni ya Ufilipino huku akiwa hana hofu yoyote.
Pambano hilo
la kimataifa linasubiriwa na watu wengi duniani kote huku mabondia wote
kila mmoja akiwa katika maandalizi ya nguvu kumkabili mwenzake.
Hautopitwa na stori yoyote inayonifikia , niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia www.tangakumekucha.blogspot.com
No comments:
Post a Comment